27.Mungu Ni Pendo
God is love 1. Mungu ni pendo, apenda watu; Mungu ni pendo, anipenda Chorus: Sikilizeni furaha yangu, Mungu ni pendo, […]
God is love 1. Mungu ni pendo, apenda watu; Mungu ni pendo, anipenda Chorus: Sikilizeni furaha yangu, Mungu ni pendo, […]
I heard the voice of Jesus say 1. Yesu aliniita, “njoo, Raha iko kwangu, Kichwa chako ukilaze Kifuani mwangu.” Nilikwenda
How sweet the name of Jesus sounds 1. Jina lake Yesu tamu; Tukilisikia Hutupoza, tena hamu Hutuondolea. 2. Roho iliyoumia
Mle kaburini, Yesu Mwokozi!Alilazwa chini, Bwana wangu! Bwana! Amefufuka,Kifo kimeshindwa kabisa!Gizani mle alitoka chini,Sasa atawala huko Mbinguni!Yu hai! Yu hai!Bwana
I was a wondering sheep 1. Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu
Christ the Lord is risen today 1. Bwana amefufuka, Aleluya. Twimbe na malaika, Aleluya. Sifa zetu na shangwe, Aleluya. Na
Ndugu wa Kirohoni 1. Ndugu wa kirohoni Mliokombolewa, Tafakarini sana Yatupasayo. Wapenzi wake Yesu Tuliokombolewa, Tujitice kabisa, Wengi waponye. 2.
There is a fountain filled with blood 1. Damu imebubujika, Ni ya Imanueli, Wakioga wenye taka Husafiwa kweli. 2. Ilimpa
I am Thine, O Lord, I have heard Thy voice 1. Ni wako wewe, nimekujua, Na umeniambia; Lakini Bwana, nataka
Jesus, Lover of my soul 1. Yesu unipendaye Kwako nakimbilia, Ni wewe utoshaye, Mwovu akinijia; Yafiche ubavuni, Mwako maisha yangu;