Tenzi za Rohoni

71.Mteteeni Yesu

Mteteeni Yesu,Mlio askari;Inueni beramu,Mukae tayari,Kwenda nae vitani,Sisi hatuchokiHata washindwe piaYeye amiliki. Mteteeni Yesu,Vita ni vikali;Leo siku ya Bwana,Atashinda kweli,Waume twende

Tenzi za Rohoni

5.Jina lake Yesu tamu

Jina lake Yesu tamu;TukilisikiaHutupoza, tena hamuHutuondolea. Roho iliyoumiaKwalo hutibika,Chakula, njaani pia;Raha, tukichoka. Jina hili ni msingi,Ngao, ngome, mwamba,Kwa hili napata

Tenzi za Rohoni

9.Yesu kwetu ni rafiki

Yesu kwetu ni rafiki,Hwamiwa haja pia;Tukiomba kwa BabayeMaombi asikia;Lakini twajikosesha,Twajitweka vibaya;Kwamba tulimwomba MunguDua angesikia. Una dhiki na maonjo?Una mashaka pia.Haifai

Tenzi za Rohoni

6.Baba, Mwana, Roho

Baba, Mwana, Roho, Mungu mwenye enzi,Kila tukiamka tunakuabuduBaba, Mwana, Roho, Mungu wa mapenzi,Ewe Utatu, tunakusifu. Baba, Mwana, Roho, wakuaminioWanakutolea shukrani

Tenzi za Rohoni

20.Ninaye Rafiki naye

Ninaye Rafiki nayeAlinipenda mbele;Kwa kamba za pendo zakeNimefungwa milele;Aukaza moyo wangu,Uache mageule,Mimi wake, yeye wangu;Ndimi naye milele. Ninaye rafiki ndiyeAliyenifilia;Alimwaga

Scroll to Top