87.Deni Ya Dhambi Ilimalizika
Deni yangu ya dhambi,Yesu amelipa.Kwake msalabaniNilipewa uzima. Deni ya dhambi,Msalabani,Ilimalizikia,Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema,“Mwanangu dhaifu,Uwezo wa ushindiHupatikana kwangu.” Bwana, […]
Deni yangu ya dhambi,Yesu amelipa.Kwake msalabaniNilipewa uzima. Deni ya dhambi,Msalabani,Ilimalizikia,Ni huru kabisa. Bwana Yesu asema,“Mwanangu dhaifu,Uwezo wa ushindiHupatikana kwangu.” Bwana, […]
Maelfu na maelfuWenye nguo bora!Masafu ya waongofuWenye na bendera!Amekwisha kamiliVita vya shetaniFungueni lango hili;Njoni, ingieni! Imbeni aleluya,Zipae Mbinguni!Pigeni sana sautiKwa
Roho yangu hima, na taa yakoKaiwashe vyema, hapa si pako;Nguvu zote pia za dunianiHazitakudhuru ukiamini. Yesu yuko mbele, Yesu yu
Ewe Roho wa MbinguniUje kwetu sasa.Ufanye makazi yakoNdani ya Kanisa. Ndiwe mwanga, umulikeTupate jikana;Mengi kwetu yapunguka,Tujalize, Bwana. Ndiwe Moto, teketezaTaka
Nina haja naweKila saa;Hawezi mwingineKunifaa. Yesu, nakuhitajiVivyo kila saa!Niwezeshe, Mwokozi,Nakujia. Nina haja nawe;Kaa nami,Na maonjo haya,Hayaumi. Nina haja nawe;Kila hali,Maisha
Aliteswa, aliteswa,Msalabani Yesu aliteswa,Dhambi zangu ameziondoa,Mahali pangu aliumizwa. Alikufa, alikufa,Msalabani Yesu alikufa,Kwa kifo chake nakombolewa,Kwa kuwa Yesu alinifia. ’Kafufuka, ‘kafufuka,Kaburini
Ndiyo damu ya baraka ituoshayo wakosa,Kwake Bwana twaokoka, nasi twamsifu sasa;Nimestahili hukumu, siwezi kujitakasa;Nioshe katika damu, takuwa safi kabisa. Safi
Dhambi ikikulemea,Kwa Bwana rehema;Hivi sasa tegemeaNeno la salama. Tegemea, tegemea,akwita sasa.Ni Mwokozi, niMwokozi; amini sasa. Yesu amemwaga damuYa nyingi baraka;Nawe
Bwana wa mabwana,Mwenye nguvu sanaTwakusihi:Neno la mileleNa liende mbele,Waongoke teleKwa Mwokozi. TunaowaonaWanavyopatana,Kulipinga,HawataliwezaNeno, kulitweza:Huwaje! Kucheza:Na upanga? Heri wajitunzeIli wapatane,Na Mwokozi;Watafute sana,Wapate
Waitwa, mwovu, na BwanaUmwendee hima sana,Usafiwe dhambi zako,Humwoni ni mwema kwako? Unaitwa! Itika tu!Umwendee Bwana Yesu!Sifiche makosa yako,Uungame dhambi zako!Kristo