32.Yesu Awakubali
Sinners,Jesus will receive 1. Yesu awakubali, Wakosa, wahalifu, Wambieni wa mbali Habari ya wokovu. Chorus: Tangazeni kwa bidii, “Akubali wakosa!” […]
Sinners,Jesus will receive 1. Yesu awakubali, Wakosa, wahalifu, Wambieni wa mbali Habari ya wokovu. Chorus: Tangazeni kwa bidii, “Akubali wakosa!” […]
My hope is built on nothing less 1. Cha kutumaini sina Ila damu yake Bwana, Sina wema wa kutosha Dhambi
Have you been to Jesus for the cleansing power? 1. Wamwendea Yesu kwa kusafiwa, Na kuoshwa kwa damu ya Kondoo?
Dying with Jesus, by death reckoned mine 1. Akifa Yesu nikafa naye Uzima upya huishi naye; Humtazama mpaka aje: Nyakati
Blessed assurance, Jesus is mine 1. Ndiyo dhamana, Yesu wangu; Hunipa furaha za Mbingu; Mrithi wa wokovu wake Nimezawa kwa
How firm a foundation, ye saints of the Lord 1. Msingi imara, enyi wa kweli, Umekwisha pigwa kwa neno hili;
I hear Thy welcome voice 1. Nasikia kwitwa Na sauti yako Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako. Chorus. Nimesogea Mtini
Whosoever will 1. Anisikiaye, aliye yote; Sasa litangae, wajue wote, Duniani kote neno wapate, Atakaye na aje! Chorus: Ni “Atakaye”
While shepherds watched their flocks 1. Wachunga walipolinda Kucha nyama zao, Malaika mtukufu Alishuka kwao. 2. Wakacha sana wachunga, Akawatuliza,
“Man of sorrows,” what a name 1. Ni “Mtu wa Simanzi,” Mwana wa Mwenye enzi, Mwenye mengi mapenzi! Asifiwe Bwana