6.Baba, Mwana, Roho
Holy holy holy, Lord God Almighty 1. Baba, Mwana, Roho, Mungu mwenye enzi, Kila tukiamka tunakuabudu Baba, Mwana, Roho, Mungu […]
Holy holy holy, Lord God Almighty 1. Baba, Mwana, Roho, Mungu mwenye enzi, Kila tukiamka tunakuabudu Baba, Mwana, Roho, Mungu […]
I am coming to the cross 1. Naendea Msalaba, Ni mnyonge na mpofu, Yapitayo naacha, Nipone Msalabani. Chorus. Nakutumaini tu,
The Cross of Shame 1. Msalaba wa aibu, Ulinipa amani, Uliniondoa kifungoni, Nilimotesekea. 2. Ee, Mwokozi wangu, Yesu, Nitamwendea nani?
Lord Jesus, I long to be perfectly whole 1. Yesu nataka kutakaswa sana, Nataka moyo uwe enzi yako. Ukiangushe kilichoinuka
I lay my sins on Jesus 1. Naweka dhambi zangu Juu yake Bwana, Kuziondoa, kwangu Hulemea sana; Na uaili wangu
In the shadow of His wing. 1. Kivulini mwa Yesu kuna Kituo: Kituo mbali na hamu, kituo kilicho tamu. Chorus:
My Faith looks up to thee 1. Yesu kwa imani, Nakutumaini, Peke yako; Nisikie sasa, Na kunitakasa, Ni wako kabisa
Jesus is tenderly calling today 1. Yesu Akwita, chanena chuo; Uje leo, uje leo, Kwani kusita, akwita, njoo; Unatanga upeo.
Thou who didst call Thy saints of old 1. Bwana uliyewaita Watakatifu wako, Wawe mitume, wachunga, Walishe kundi lako; Wanyonge
O happy day that fixed my choice 1. Ni siku kuu siku ile Ya kumkiri Mwokozi! Moyo umejaa tele, Kunyamaza