Tenzi za Rohoni

26.Yesu Unipendae

Yesu unipendayeKwako nakimbilia,Ni wewe utoshaye,Mwovu akinijia;Yafiche ubavuni,Mwako maisha yangu;Nifiikishe mbinguniWokoe moyo wangu. Ngome nyingine sina;Nategemea kwako.Usinitupe Bwana ,Nipe neema yako,NinakuamaniaMwenye

Tenzi za Rohoni

8.Taji mvikeni

Taji mvikeni,Taji nyingi tena,Kondoo mwake kitini,Bwana wa mabwana;Name tamsifuAlikufa kwangu,Ni mfalme mtukufu,Mkuu wa Mbingu. Taji mvikeniMwana wa bikira;Anazovaa kichwaniAliteka nyara;Shiloh

Tenzi za Rohoni

47.Ni WaKo Wewe

Ni wako wewe, nimekujua,Na umeniambia;Lakini Bwana, nataka kwako nizidi kusongea. Bwana vuta, vuta, nije nisongee,Sana, kwako mtini.Bwana vuta, vuta, nije

Tenzi za Rohoni

10.Usinipite!

Usinipite Mwokozi,Unisikie;Unapozuru wengine,Usinipite. Yesu,Yesu,Unisikie;Unapozuru wengine,Usinipite. Kiti chako cha rehema,Nakitazama;Magoti napiga pale,Nisamehewe. Sina ya kutegemea,Ila Wewe tu;Uso wako uwe kwangu;Nakuabudu. U

Tenzi za Rohoni

25.Nimekombolewa na Yesu

Nimekombolewa na YesuAliyenirehemia;Kwa bei ya mauti yakeNimekuwa mtoto wake. Kombolewa!Nakombolewa na damu;Kombolewa!Mimi mwana wake kweli. Kukombolewa nafurahi,Kupita lugha kutamka;Kulionyesha pendo

Tenzi za Rohoni

75.Waimba, Sikizeni

Waimba, sikizeni,Malaika Mbinguni;Wimbo wa tamu sanaWa pendo zake Bwana,“Duniani salama,Kwa wakosa rehema.”Sisi sote na twimbeNao wale wajumbe;Waimba, sikizeni,Malaika mbinguni. Ndiye

Scroll to Top