36.Anisikiaye, Aliye Yote
Anisikiaye, aliye yote;Sasa litangae, wajue wote,Duniani kote neno wapate,Atakaye na aje! Ni “Atakaye”, ni “atakaye”,Pwani hata bara, na litangae;Ni Baba […]
Anisikiaye, aliye yote;Sasa litangae, wajue wote,Duniani kote neno wapate,Atakaye na aje! Ni “Atakaye”, ni “atakaye”,Pwani hata bara, na litangae;Ni Baba […]
Nasikia kwitwaNa sauti yakoNikasafiwe kwa damuYa kwangikwa kwako. Nimesogea Mtini pako,Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako. Ni mnuonge kweli,Umenipa nguvu,Ulivyonisafi
Jina lake Yesu tamu;TukilisikiaHutupoza, tena hamuHutuondolea. Roho iliyoumiaKwalo hutibika,Chakula, njaani pia;Raha, tukichoka. Jina hili ni msingi,Ngao, ngome, mwamba,Kwa hili napata
Nilikuwa kondoo aliyepotea,Sikupenda zizi kamwe, ila kutembeaNilikuwa mwana asiyesikia,Sikupenda baba yangu wala kutulia. Na mchunga mwema alinitafuta,Baba kwa mapenzi ndiye
Mle kaburini, Yesu Mwokozi!Alilazwa chini, Bwana wangu! Bwana! Amefufuka,Kifo kimeshindwa kabisa!Gizani mle alitoka chini,Sasa atawala huko Mbinguni!Yu hai! Yu hai!Bwana
Yesu aliniita, “njoo,Raha iko kwangu,Kichwa chako ukilazeKifuani mwangu.” Nilikwenda kwake mara,Sana nilichoka;Nikapata kwake raha,Na furaha tena. Yesu aliniita, “njoo,Kwangu kuna
Bwana amefufuka, Aleluya.Twimbe na malaika, Aleluya.Sifa zetu na shangwe, Aleluya.Na zao zisitengwe, Aleluya. Ukombozi timamu, Aleluya.Umetimu kwa damu, Aleluya.Mshindi asifiwe,
Ndugu wa kirohoniMliokombolewa,Tafakarini sanaYatupasayo. Wapenzi wake YesuTuliokombolewaTujitoe kabisaWengi waponywe. Siku itatimiaTutakapoulizwaWale wa nyumba zetuNa majirani Tujitoeni, ndugu,Tukahubiri Injili.Atutumie Rohokuponya wengi.
Twamsifu Mungu kwa Mwana wa Pendo,Aliyetufia na kupaa juu. Aleluya! Usifiwe; Aleluya! Amin.Aleluya! Usifiwe, utubariki. Twamsifu Mungu kwa Roho Mtukufu,Ametufunulia
Jina la Yesu, Salamu!Lisujudieni,Ninyi Mbinguni, hukumuNa enzi mpeni. Enzi na apewe kwetu,Watetea dini;Mkuzeni Bwana wenu,Na enzi mpeni. Enyi mbegu ya