14.Yesu kwa imani
Yesu kwa imani,Nakutumaini,Peke yako;Nisikie sasa,Na kunitakasa,Ni wako kabisaTangu leo. Nipe nguvu piaZa kusaidiaMoyo wangu;Ulikufa wewe,Wokovu nipeweNakupenda wewe,Bwana wangu. Hapa nazungukaKatika […]
Yesu kwa imani,Nakutumaini,Peke yako;Nisikie sasa,Na kunitakasa,Ni wako kabisaTangu leo. Nipe nguvu piaZa kusaidiaMoyo wangu;Ulikufa wewe,Wokovu nipeweNakupenda wewe,Bwana wangu. Hapa nazungukaKatika […]
Yesu akwita, chanena Chuo:Uje leo, uje leo;Kwani kusita? Akwita, Njoo;Unatanga upeo. Hwita leo, hwita leo.Yesu akwita kwa upole akwita leo.
Ila damu yake Bwana,Sina wema wa kutoshaDhambi zangu kuziosha; Kwake Yesu nasimma,Ndiye mwamba: ni salamaNdiye mwamba: ni salama. Njia yangu
Wamwendea Yesu kwa kusafiwa,Na kuoshwa kwa damu ya kondoo?Je neema yake umemwagiwa,Tumeoshwa kwa damu ya kondoo? Kuoshwa, kwa damu,Itutakasayo ya
Akifa Yesu nikafa nayeUzima upya huishi naye;Humtazama mpaka nje:Nyakati zote ni wake yeye. Nyakati zote nimo pendoni,Nyakati zote ni uzimani,Humtazama
Ndiyo dhamana, Yesu wangu;Hunipa furaha za Mbingu;Mrithi wa wokovu wakeNimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yanguYesu ndiye Mwokozi wangu,Habari
Msingi imara, enyi wa kweli,Umekwisha pigwa kwa neno hili;Aongeze lipi? Mnayo piaKwa Yesu mliomkimbilia. Wambiwapo vuka maji ya giza,Mito ya
Anisikiaye, aliye yote;Sasa litangae, wajue wote,Duniani kote neno wapate,Atakaye na aje! Ni “Atakaye”, ni “atakaye”,Pwani hata bara, na litangae;Ni Baba
Ni “Mtu wa Simanzi”,Mwana wa mwenye enziMwenye mengi mapenzi!Asifiwe Bwana Yesu! Akawa matesoni,“Mungu mwana yakiniAkatoka Mbinguni:Asifiwe Bwana Yesu! Akapata dhihaka,Mzoea
Mungu ni pendo, apenda watu;Mungu ni pendo, anipenda Sikilizeni furaha yangu,Mungu ni pendo, anipenda. Nilipotea katika dhambi,Nikawa mtumwa wa shetani.