Tenzi za Rohoni

28.Anipenda ni kweli

Anipenda ni kweli;Mungu anena hili;Sisi wake watoto;kutulinda si zito. Yesu anipenda,Yesu anipenda,Kweli anipenda,Mungu amesema. Kwa kupenda akafaNiokoke na kufa;Atazidi taka,Sana

Tenzi za Rohoni

6.Baba, Mwana, Roho

Baba, Mwana, Roho, Mungu mwenye enzi,Kila tukiamka tunakuabuduBaba, Mwana, Roho, Mungu wa mapenzi,Ewe Utatu, tunakusifu. Baba, Mwana, Roho, wakuaminioWanakutolea shukrani

Tenzi za Rohoni

79.Msalaba Wa Aibu

Msalaba wa aibu,Ulinipa amani;Uliniondoa kifungoni,Nilimotesekea. Ee, Mwokozi wangu, YesuNitamwendea nani?Najiweka msalabani,Nikaoshwe damuni. Nakupenda Bwana Yesu,Kwa kunipenda kwako,Napendezwa nikutumikieMaisha yangu yote.

Tenzi za Rohoni

14.Yesu kwa imani

Yesu kwa imani,Nakutumaini,Peke yako;Nisikie sasa,Na kunitakasa,Ni wako kabisaTangu leo. Nipe nguvu piaZa kusaidiaMoyo wangu;Ulikufa wewe,Wokovu nipeweNakupenda wewe,Bwana wangu. Hapa nazungukaKatika

Tenzi za Rohoni

32.Yesu Awakubali

WakosaYesu awakubali,Wakosa, wahalifu,Wambieni wa mbaliHabari ya wokovu. Tangazeni kwa bidii,“Akubali wakosa!”Liwe neno dhahiri,“Akubali wakosa!” Awakubali BwanaNeno lake aminiWatu kila ainaWaje

Scroll to Top