1.Mwokozi Umeokoa
Mwokozi umeokoa,Nimekuwa wako wewe.Damu imenisafisha;Sifa kwa mwana Kondoo. Utukufu, Aleluya!Sifa kwa Mwana Kondoo!Damu imenisafisha,Utukufu kwa Yesu! Nilijitahidi sanaIla sikupata raha;Bali […]
Mwokozi umeokoa,Nimekuwa wako wewe.Damu imenisafisha;Sifa kwa mwana Kondoo. Utukufu, Aleluya!Sifa kwa Mwana Kondoo!Damu imenisafisha,Utukufu kwa Yesu! Nilijitahidi sanaIla sikupata raha;Bali […]
Mungu msaada wetuTangu myaka yote,Ndiwe tumaini letuLa zamani zote. Kivuli cha kiti chakoNdiyo ngome yetu.Watosha mkono wakoNi ulinzi wetu. Kwanza
Mwamba wenye imaraKwako nitajificha!Maji hayo na damuYaliyotoka humu,Hunisafi na dhambi,Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia ,Sitimizi sharia.Nijapofanya bidii,Nikilia nakudhii,Hayaishi makosa;Ndiwe
Kale nilitembeaNikilemewa dhambiNilikosa msaada,kuniponya mateso. Usifiwe Msalaba!Lisifiwe kaburi!Linalozidi yote,Asifiwe Mwokozi! Hata nilipofika,Mahali pa Msalaba,Palinifaa sana,Sitasahau kamwe. Hicho ndicho chanzo,Cha kufurahi
Njoni na furaha, enyi wa imani,Njoni Bethilehemu upesi !Amezaliwa jumbe wa Mbinguni;Njoni tumuabudu, njonu tumuabudu,Njoni tumuabudu Mwokozi. Mungu wa waungu,
1. Hata ndimi elfu elfu, Hazitoshi kweli Bwana Yesu kumsifu, Kwa zake fadhili. 2. Yesu, jina liwezalo Kufukuza hofu; Lanifurahisha
Baba yetu aliye MbinguniAmenifurahisha yakiniKuniambia mwake chuoniYa kuwa nami Yesu pendoni. Anipenda Mwokozi Yesu,Anipenda, anipenda;Anipenda Mwokozi Yesu,Anipenda mimi. Nimuachapo kutanga
Msalabani pa mwokozi,Hapo niliomba upozi,Akaniokoa mpenzi,Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu,Akaniokoa mpenzi, Mwana wa Mungu. Chini ya mti
Nitwae hivi nilivyo,Umemwaga damu yako,Nawe ulivyoniita,Bwana Yesu,naja,naja. Hivi nilivyo;si languKujiosha roho yangu;Nisamehe dhambi zangu,Bwana Yesu,naja,naja. Hivi nilivyo; sioniKamwe furaha moyoni;Daima
Naendea Msalaba,Ni mnyonge na mpofu,Yapitayo naacha,Nipone Msalabani. Nakutumaini tu,Ewe Mwana wa Mungu;Nainamia kwako;Niponye, mponya wangu. Nakulilia sana:Nalemewa na dhambi;Pole Yesu