8.Taji mvikeni
Crown Him with crowns 1. Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, […]
Crown Him with crowns 1. Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, […]
Pass me not! 1. Usinipite Mwokozi, Unisikie; Unapozuru wengine, Usinipite. Chorus: Yesu, Yesu, Unisikie; Unapozuru wengine, Usinipite. 2. Kiti chako
What can wash away my sins? 1. Sioshwi dhambi zangu, Bila damu yake Yesu; Hapendezewi Mungu, Bila damu yake Yesu.
Speed away! Speed away! 1. Twendeni! Haraka! Tupeleke Neno Liwe mwanga kwa nchi zilizo giza, Bwana alisema nendeni po pote
Come to Jesus just now 1. Twende kwake, twende kwake, kwake Yesu sasa, Sasa twende kwake, kwake Yesu sasa! 2.
Hark, the herald angels sing 1. Waimba, sikizeni, Malaika Mbinguni; Wimbo wa tamu sana Wa pendo zake Bwana; Duniani salama,
Take my life, and let it be 1. Twae wangu uzima, Sadaka ya daima; Twae saa na siku, Zikutukuze huku.
Redeemed! How I love to proclaim it! 1. Nimekombolewa na Yesu Aliyenirehemia; Kwa bei ya mauti yake Nimekuwa mtoto wake.
Come to the Saviour, make no delay 1. Twende kwa Yesu mimi nawe, Njia atwonya tuijue Imo Chuoni; na Mwenyewe,
Oh for a heart to praise my God 1. Nipe moyo wenye sifa, Sio wa utumwa; Moyo ulionyunyizwa Damu ya