85.Ni “Mtu Wa Simanzi
Ni “Mtu wa Simanzi”,Mwana wa mwenye enziMwenye mengi mapenzi!Asifiwe Bwana Yesu! Akawa matesoni,“Mungu mwana yakiniAkatoka Mbinguni:Asifiwe Bwana Yesu! Akapata dhihaka,Mzoea […]
Ni “Mtu wa Simanzi”,Mwana wa mwenye enziMwenye mengi mapenzi!Asifiwe Bwana Yesu! Akawa matesoni,“Mungu mwana yakiniAkatoka Mbinguni:Asifiwe Bwana Yesu! Akapata dhihaka,Mzoea […]
1. Mungu ni pendo, apenda watu; Mungu ni pendo, anipenda Chorus: Sikilizeni furaha yangu, Mungu ni pendo, anipenda. 2. Nilipotea
1. Jina lake Yesu tamu; Tukilisikia Hutupoza, tena hamu Hutuondolea. 2. Roho iliyoumia Kwalo hutibika, Chakula, njaani pia; Raha, tukichoka.
Mle kaburini, Yesu Mwokozi!Alilazwa chini, Bwana wangu! Bwana! Amefufuka,Kifo kimeshindwa kabisa!Gizani mle alitoka chini,Sasa atawala huko Mbinguni!Yu hai! Yu hai!Bwana
1. Nilikuwa kondoo aliyepotea, Sikupenda zizi kamwe, ila kutembea Nilikuwa mwana asiyesikia, Sikupenda baba yangu wala kutulia. 2. Na mchunga
1. Yesu aliniita, “njoo, Raha iko kwangu, Kichwa chako ukilaze Kifuani mwangu.” 2. Nilikwenda kwake mara, Sana nilichoka; Nikapata kwake
Bwana amefufuka, Aleluya.Twimbe na malaika, Aleluya.Sifa zetu na shangwe, Aleluya.Na zao zisitengwe, Aleluya. Ukombozi timamu, Aleluya.Umetimu kwa damu, Aleluya.Mshindi asifiwe,
Ndugu wa kirohoniMliokombolewa,Tafakarini sanaYatupasayo. Wapenzi wake YesuTuliokombolewaTujitoe kabisaWengi waponywe. Siku itatimiaTutakapoulizwaWale wa nyumba zetuNa majirani Tujitoeni, ndugu,Tukahubiri Injili.Atutumie Rohokuponya wengi.
Damu Imebubujika,Ni ya Imanweli,Wakioga wenye taka,Husafiwa kweli. Ilimpa kushukuruMwivi mautini;Nami nisiye udhuru,Yanisafi ndani. Kondoo wa kuuawa,Damu ina nguvu,Wako wote kuokoa,Kwa
Twamsifu Mungu kwa Mwana wa Pendo,Aliyetufia na kupaa juu. Aleluya! Usifiwe; Aleluya! Amin.Aleluya! Usifiwe, utubariki. Twamsifu Mungu kwa Roho Mtukufu,Ametufunulia