43.Yesu Akwita
Yesu akwita, chanena Chuo:Uje leo, uje leo;Kwani kusita? Akwita, Njoo;Unatanga upeo. Hwita leo, hwita leo.Yesu akwita kwa upole akwita leo. […]
Yesu akwita, chanena Chuo:Uje leo, uje leo;Kwani kusita? Akwita, Njoo;Unatanga upeo. Hwita leo, hwita leo.Yesu akwita kwa upole akwita leo. […]
Bwana uliyewaitaWatakatifu wako,Wawe mitume, wachunga,Walishe kundi lako;wanyonge na wenye hofuWakawa mashujaa,Na wapole wa kunenaWasiwe kunyamaa. Hata leo wawatakaWatakatifu wako,Nawe wauliza
Ila damu yake Bwana,Sina wema wa kutoshaDhambi zangu kuziosha; Kwake Yesu nasimma,Ndiye mwamba: ni salamaNdiye mwamba: ni salama. Njia yangu
Wamwendea Yesu kwa kusafiwa,Na kuoshwa kwa damu ya kondoo?Je neema yake umemwagiwa,Tumeoshwa kwa damu ya kondoo? Kuoshwa, kwa damu,Itutakasayo ya
Akifa Yesu nikafa nayeUzima upya huishi naye;Humtazama mpaka nje:Nyakati zote ni wake yeye. Nyakati zote nimo pendoni,Nyakati zote ni uzimani,Humtazama
Ndiyo dhamana, Yesu wangu;Hunipa furaha za Mbingu;Mrithi wa wokovu wakeNimezawa kwa Roho yake. Habari njema, raha yanguYesu ndiye Mwokozi wangu,Habari
Msingi imara, enyi wa kweli,Umekwisha pigwa kwa neno hili;Aongeze lipi? Mnayo piaKwa Yesu mliomkimbilia. Wambiwapo vuka maji ya giza,Mito ya
Nasikia kwitwaNa sauti yakoNikasafiwe kwa damuYa kwangikwa kwako. Nimesogea Mtini pako,Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako. Ni mnuonge kweli,Umenipa nguvu,Ulivyonisafi
Anisikiaye, aliye yote;Sasa litangae, wajue wote,Duniani kote neno wapate,Atakaye na aje! Ni “Atakaye”, ni “atakaye”,Pwani hata bara, na litangae;Ni Baba
Wachunga walipolindaKucha nyama zao,Malaika mtukufuAlishuka kwao. Wakacha sana wachunga,Akawatuliza,“Nawaletea habariYa kuwapendeza.” ”Mji ule wa DaudiLeo amezawaMwokozi ni Kristo Bwana,Ilivyoandikwa”. ”Huyo