29.Baba yetu aliye Mbinguni
Baba yetu aliye MbinguniAmenifurahisha yakiniKuniambia mwake chuoniYa kuwa nami Yesu pendoni. Anipenda Mwokozi Yesu,Anipenda, anipenda;Anipenda Mwokozi Yesu,Anipenda mimi. Nimuachapo kutanga […]
Baba yetu aliye MbinguniAmenifurahisha yakiniKuniambia mwake chuoniYa kuwa nami Yesu pendoni. Anipenda Mwokozi Yesu,Anipenda, anipenda;Anipenda Mwokozi Yesu,Anipenda mimi. Nimuachapo kutanga […]
Baba, Mwana, Roho, Mungu mwenye enzi,Kila tukiamka tunakuabuduBaba, Mwana, Roho, Mungu wa mapenzi,Ewe Utatu, tunakusifu. Baba, Mwana, Roho, wakuaminioWanakutolea shukrani
Naendea Msalaba,Ni mnyonge na mpofu,Yapitayo naacha,Nipone Msalabani. Nakutumaini tu,Ewe Mwana wa Mungu;Nainamia kwako;Niponye, mponya wangu. Nakulilia sana:Nalemewa na dhambi;Pole Yesu
Msalaba wa aibu,Ulinipa amani;Uliniondoa kifungoni,Nilimotesekea. Ee, Mwokozi wangu, YesuNitamwendea nani?Najiweka msalabani,Nikaoshwe damuni. Nakupenda Bwana Yesu,Kwa kunipenda kwako,Napendezwa nikutumikieMaisha yangu yote.
Yesu nataka kutakaswa sana,Nataka moyo uwe enzi yako.Ukiangushe kilichoinukaUnioshe sasa niwe mweupe. Mweupe tu, ndiyo mweupe,Ukiniosha nitakuwa safi. Bwaba Yesu,
Naweka dhambi zanguJuu yake BwanaKuziondoa, kwanguHulemea sana;Na uaili wanguAmeuondoa;Dawa yangu ni damu, Kwa hiyo napoa. Na uhitaji wanguNitamjuvishaKwa upungufu wanguYeye
Kivulini mwa Yesu kuna Kituo:Kituo mbali na hamu, kituo kilicho tamu. Kivulini mwa Yesu kuna kituo;kivulini mwa Yesu kuna kituo;Raha
Ni siku kuu siku ileYa kumkiri Mwokozi!Moyo umejaa tele,Kunyamaza hauwezi. Siku kuu! Siku kuu!Ya kuoshwa dambi zangu kuu!Hukesha na kuomba
WakosaYesu awakubali,Wakosa, wahalifu,Wambieni wa mbaliHabari ya wokovu. Tangazeni kwa bidii,“Akubali wakosa!”Liwe neno dhahiri,“Akubali wakosa!” Awakubali BwanaNeno lake aminiWatu kila ainaWaje
Yesu kwa imani,Nakutumaini,Peke yako;Nisikie sasa,Na kunitakasa,Ni wako kabisaTangu leo. Nipe nguvu piaZa kusaidiaMoyo wangu;Ulikufa wewe,Wokovu nipeweNakupenda wewe,Bwana wangu. Hapa nazungukaKatika