68.Mungu Msaada Wetu
Mungu msaada wetuTangu myaka yote,Ndiwe tumaini letuLa zamani zote. Kivuli cha kiti chakoNdiyo ngome yetu.Watosha mkono wakoNi ulinzi wetu. Kwanza […]
Mungu msaada wetuTangu myaka yote,Ndiwe tumaini letuLa zamani zote. Kivuli cha kiti chakoNdiyo ngome yetu.Watosha mkono wakoNi ulinzi wetu. Kwanza […]
Mwamba wenye imaraKwako nitajificha!Maji hayo na damuYaliyotoka humu,Hunisafi na dhambi,Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia ,Sitimizi sharia.Nijapofanya bidii,Nikilia nakudhii,Hayaishi makosa;Ndiwe
Njoni na furaha, enyi wa imani,Njoni Bethilehemu upesi !Amezaliwa jumbe wa Mbinguni;Njoni tumuabudu, njonu tumuabudu,Njoni tumuabudu Mwokozi. Mungu wa waungu,
Waponyeni watu wamo kifoni,Watoeni walio shimoni;Na aangukaye mumzuie;Ya Bwana Yesu wahubirini. Walio kifoni waokoeni,Mwokozi yuko, wahubirini. Wajapokawia anangojea,Awasubiri waje tobani;Msiwadharau,
Mtazame Huyo! Aliyeangikwa juuHivi sasa upate ishi.Mwenye – dhambi dhaifu, mtazame tuWala usifanye tashwishi. Tazama! Tazama! Tazama uishi!Mtazame huyo aliyeangikwa
1. Hata ndimi elfu elfu, Hazitoshi kweli Bwana Yesu kumsifu, Kwa zake fadhili. 2. Yesu, jina liwezalo Kufukuza hofu; Lanifurahisha
Yesu atuchunga,Mchunga wetu,Naye atufutaMachozi yetu;Mkononi mwakeHatuna hofu,Daima twapataKwake wokovu. Yesu atuchungaTumemjua,Na sauti yakeTwaitambua;Naye akituonyaNi kwa upole,Tu kondoo zakeHata milele. Yesu
Msalabani pa mwokozi,Hapo niliomba upozi,Akaniokoa mpenzi,Mwana wa Mungu. Mwana wa Mungu, Mwokozi wangu,Akaniokoa mpenzi, Mwana wa Mungu. Chini ya mti
Anipenda ni kweli;Mungu anena hili;Sisi wake watoto;kutulinda si zito. Yesu anipenda,Yesu anipenda,Kweli anipenda,Mungu amesema. Kwa kupenda akafaNiokoke na kufa;Atazidi taka,Sana
Nitwae hivi nilivyo,Umemwaga damu yako,Nawe ulivyoniita,Bwana Yesu,naja,naja. Hivi nilivyo;si languKujiosha roho yangu;Nisamehe dhambi zangu,Bwana Yesu,naja,naja. Hivi nilivyo; sioniKamwe furaha moyoni;Daima