16.Kumtegemea Mwokozi
Kumtegemea Mwokozi,Kwangu tamu kabisa;Kukubali neno lakeNina raha moyoni. Yesu,Yesu namwamini,Nimemwona thabiti;Yesu,Yesu,yu thamani,Ahadi zake kweli. Kumtegemea Mwokozi,Kwangu tamu kabisa,Kuamini damu yakeNimeoshwa […]
Kumtegemea Mwokozi,Kwangu tamu kabisa;Kukubali neno lakeNina raha moyoni. Yesu,Yesu namwamini,Nimemwona thabiti;Yesu,Yesu,yu thamani,Ahadi zake kweli. Kumtegemea Mwokozi,Kwangu tamu kabisa,Kuamini damu yakeNimeoshwa […]
Twendeni askari, watu wa Mungu;Yesu yuko mbele, tumwandame juu.Ametangulia Bwana vitani,Twende mbele kwani ndiye amini. Twende askari watu wa Mungu;Yesu
Muda mwingi nilipotea,Sikufahamu msalaba,Wala aliyenifilia,Kwa Kalvari. Rehema bure na neema,Samaha nalo nilipewa,Ndipo aliponifunguaKwa Kalvari. Kwa neno lake Bwana Mungu,Nilijiona mimi
Nataka nimjue Yesu,Na nizidi kumfahamu,Nijue pendo lake, naWokovu wake kamili. Zaidi, zaidi, nimfahamu Yesu,Nijue pendo lake, nawokovu wake kamili. Nataka
Twamsifu Mungu kwa Mwana wa Pendo,Aliyetufia na kupaa juu. Aleluya! Usifiwe; Aleluya! Amin.Aleluya! Usifiwe, utubariki. Twamsifu Mungu kwa Roho Mtukufu,Ametufunulia
Ujaribiwapo, sifanye dhambi,Bali uzishinde, kwa Yesu kutii.Fuliza kiume ushinde tamaa;Yesu ni Mwokozi, hukuokoa. Umwombapo yu papoAkuongeze nguvu,Atakusaidia;Yesu atakufaa. Wepushe waovu,
Kukawa na giza dunia yote,Ni Mwanga wa ulimwengu,Ikaisha ulipokuja yote,Ni mwanga wa ulimwengu. Jua, Yesu hana mwenziwe!Nalipofuka kama wewe:Nakuombea umwone
Tafuta daima utakatifu;Fanya urafiki na Wakristo tu;Nena siku zotena Bwana wako,Baraka uombe kwa kila jambo. Tafuta daima utakatifu;Uwe peke yako
Mwenye dhambi huna raha,Sikiza nakusihi,Utapata msamahaKwake Yesu Mwokozi!Njoo hima, njoo hima,Naye atafurahi. Yesu anakwita sanaNaye yuko Mbinguni;Hofu ya kifo hapanaKwake
Njoni! Njoni! Wenye dhambi,Njoni, msikawie;Yesu awangojea ndiye awapendaye;Ajuaye awezayekuwaponya ni Yeye. Ewe muhitaji uje;Anakukaribisha,Imani, kweli, na toba,Neema ya kutosha,Jua sana,