53.Wewe Umechoka Sana?
1. Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. 2. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, […]
1. Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. 2. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu, […]
1. Yesu zama Bethlehemu, Aliyezaliwa kwa aibu, Ndiye mwakozi wa ulimwengu, Akaja kwa mimi. Chorus: Akaja kwa mimi; akaja kwa
1. Mapenzi yako yafanyike, Wewe mfinyanzi, nami towe, Unifinyange upendavyo, Mimi tayari, naja kwako. 2. Mapenzi yako yafanyike, Unihoji dhambi
Siku ya Mbinguni kujawa na sifa,Dhambi zilizidi duniani;Yesu akaja azaliwe mtu,Awe na watu ulimwenguni. Alinipenda, alinifia,Ameondoa na dhambi zangu;Alifufuka nipewe
Tazameni huyo ndiye,Mwenye kushinda vita;Haya, tumsujudie;Nyara anazileta;Watu wote msifuni,Sasa yumo kitini. Msifuni malaika,Mtukuzeni sana,Wote waliookokaWatamsifu Bwana;Watu wote msifuni,Sasa yumo kitini.
1. Katika safari yetu Kwenda Mbinguni Tusiishe siku zetu Usingizini. Chorus Ng’oani! Tujifungeni, Twende zetu juu! Kristo ndiye kiongozi; Tusihofu
Mbona washangaa njiani?Mbona warejea nyuma?Warudi tena gizaniAlimokutoa Bwana? Ni ya bure yote haya,Uliyofunzwa ya Mungu?Ni bure amekufiaBwana Yesu kwa uchungu?
Jina la Yesu, Salamu!Lisujudieni,Ninyi Mbinguni, hukumuNa enzi mpeni. Enzi na apewe kwetu,Watetea dini;Mkuzeni Bwana wenu,Na enzi mpeni. Enyi mbegu ya
Mwokozi umeokoa,Nimekuwa wako wewe.Damu imenisafisha;Sifa kwa mwana Kondoo. Utukufu, Aleluya!Sifa kwa Mwana Kondoo!Damu imenisafisha,Utukufu kwa Yesu! Nilijitahidi sanaIla sikupata raha;Bali
Kale nilitembeaNikilemewa dhambiNilikosa msaada,kuniponya mateso. Usifiwe Msalaba!Lisifiwe kaburi!Linalozidi yote,Asifiwe Mwokozi! Hata nilipofika,Mahali pa Msalaba,Palinifaa sana,Sitasahau kamwe. Hicho ndicho chanzo,Cha kufurahi