81.Chini Ya Msalaba
Chini ya msalabaNataka simama;Ndio mwamba safarini,Wa kivuli chema;Ni kweli kwa roho yanguNi tuo kamili,Tatua mzigo wanguWakati wa hari. Hapa ni […]
Chini ya msalabaNataka simama;Ndio mwamba safarini,Wa kivuli chema;Ni kweli kwa roho yanguNi tuo kamili,Tatua mzigo wanguWakati wa hari. Hapa ni […]
Mteteeni Yesu,Mlio askari;Inueni beramu,Mukae tayari,Kwenda nae vitani,Sisi hatuchokiHata washindwe piaYeye amiliki. Mteteeni Yesu,Vita ni vikali;Leo siku ya Bwana,Atashinda kweli,Waume twende
1. Tangu siku hiyo aliponijia, Akae moyoni mwangu, Sina giza tena, ila mwanga pia Kwa Yesu mwokozi wangu. Chorus: Amani
Jina lake Yesu tamu;TukilisikiaHutupoza, tena hamuHutuondolea. Roho iliyoumiaKwalo hutibika,Chakula, njaani pia;Raha, tukichoka. Jina hili ni msingi,Ngao, ngome, mwamba,Kwa hili napata
1. Yesu kwetu ni rafiki, Hwamiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia; Lakini twajikosesha, Twajitweka vibaya; Kwamba tulimwomba Mungu
Yesu nakupenda, U mali yangu,Anasa za dhambi sitaki kwangu;Na Mwokozi aliyeniokoa,Sasa nakupenda, kuzidi pia. Moyo umejaa mapenzi teleKwa vile ulivyonipenda
Kwa wingi wa nyama,Na sadaka pia,Hupata wapi salama,Kwondoa hatia? Sadaka ni Yesu,Hwondoa makosa;Dhabihu mwenye jina kuu,Atanitakasa. Kwa yangu imani,Nikuweke sasaMkono
Baba, Mwana, Roho, Mungu mwenye enzi,Kila tukiamka tunakuabuduBaba, Mwana, Roho, Mungu wa mapenzi,Ewe Utatu, tunakusifu. Baba, Mwana, Roho, wakuaminioWanakutolea shukrani
Tumesikia mbiu:Yesu lo! aponya,Utangazeni kote,Yesu, lo! aponya.Tiini amri hiyo;Nchini na baharini,Enezeni mbiu hii;Yesu , lo! aponya. Imbeni na vitani;Yesu, lo!
1. Ninaye Rafiki naye Alinipenda mbele; Kwa kamba za pendo zake Nimefungwa milele; Aukaza moyo wangu, Uache mageule, Mimi wake,