4.Jina La Yesu Salamu!
Jina la Yesu, Salamu!Lisujudieni,Ninyi Mbinguni, hukumuNa enzi mpeni. Enzi na apewe kwetu,Watetea dini;Mkuzeni Bwana wenu,Na enzi mpeni. Enyi mbegu ya […]
Jina la Yesu, Salamu!Lisujudieni,Ninyi Mbinguni, hukumuNa enzi mpeni. Enzi na apewe kwetu,Watetea dini;Mkuzeni Bwana wenu,Na enzi mpeni. Enyi mbegu ya […]
1. Yesu unipendaye Kwako nakimbilia, Ni wewe utoshaye, Mwovu akinijia; Yafiche ubavuni, Mwako maisha yangu; Nifiikishe mbinguni Wokoe moyo wangu.
1. Taji mvikeni, Taji nyingi tena, Kondoo mwake kitini, Bwana wa mabwana; Name tamsifu Alikufa kwangu, Ni mfalme mtukufu, Mkuu
Ni wako wewe, nimekujua,Na umeniambia;Lakini Bwana, nataka kwako nizidi kusongea. Bwana vuta, vuta, nije nisongee,Sana, kwako mtini.Bwana vuta, vuta, nije
1. Usinipite Mwokozi, Unisikie; Unapozuru wengine, Usinipite. Chorus: Yesu, Yesu, Unisikie; Unapozuru wengine, Usinipite. 2. Kiti chako cha rehema, Nakitazama;
Twendeni! Haraka! Tupeleke NenoLiwe mwanga kwa nchi zilizo giza.Bwana alisema nendeni po poteKawafundisheni mataifa yote.Pelekeni Injili kwa jina la Yesu.Upesi!
1. Nimekombolewa na Yesu Aliyenirehemia; Kwa bei ya mauti yake Nimekuwa mtoto wake. Chorus: Kombolewa! Nakombolewa na damu; Kombolewa! Mimi
Twae wangu uzima,Sadaka ya daima;Twae saa na siku,Zikutukuze huku. Twae mikono nayoIfanye upendavyo,Twae yangu miguuKwa wongozi wako tu. Twae sauti
Waimba, sikizeni,Malaika Mbinguni;Wimbo wa tamu sanaWa pendo zake Bwana,“Duniani salama,Kwa wakosa rehema.”Sisi sote na twimbeNao wale wajumbe;Waimba, sikizeni,Malaika mbinguni. Ndiye
Sioshwi dhambi zangu,Bila damu yake Yesu.Hapendezewi Mungu,Bila damu yake Yesu. Hakuna kabisaDawa ya makosaYa kututakasa,Ila damu yake Yesu. La kunisafi