I gave my life for Thee
1.
Nilikupa wewe
Damu ya moyoni,
Ili wokolewe,
Winuke ufuni:
Nilikupa wewe
Damu ya moyoni,
Ili wokolewe,
Winuke ufuni:
Nimekunyimani?
Umenipa nini?
Umenipa nini?
2.
Nilikupa miaka
Yangu duniani,
Upate inuka,
Kuishi Mbinguni:
Nimekunyimani?
Umenipa nini?
Nilikupa miaka
Yangu duniani,
Upate inuka,
Kuishi Mbinguni:
Nimekunyimani?
Umenipa nini?
3.
Niliacha nuru
Za Baba, Mbinguni,
Kwingia taabu
Za ulimwenguni:
Nimekunyimani?
Umenipa nini?
Niliacha nuru
Za Baba, Mbinguni,
Kwingia taabu
Za ulimwenguni:
Nimekunyimani?
Umenipa nini?
4.
Niliteswa sana,
Mateso kifoni,
Usije yaona
Hayo ya motoni:
Nimekunyimani?
Umenipa nini?
Niliteswa sana,
Mateso kifoni,
Usije yaona
Hayo ya motoni:
Nimekunyimani?
Umenipa nini?
5.
Nimekuletea
Huku duniani
Upendo na afya
Zatoka Mbinguni:
Nimekunyimani?
Umenipa nini?
Nimekuletea
Huku duniani
Upendo na afya
Zatoka Mbinguni:
Nimekunyimani?
Umenipa nini?
6.
Nipe siku zako,
Udumu mwangani;
Na taabu yako,
Wingie rahani.
Nafsi, pendo, mali,
Twae Imanweli.
Nipe siku zako,
Udumu mwangani;
Na taabu yako,
Wingie rahani.
Nafsi, pendo, mali,
Twae Imanweli.