73.Yesu Zamani Bethlehemu

1.
Yesu zama Bethlehemu,
Aliyezaliwa kwa aibu,
Ndiye mwakozi wa ulimwengu,
Akaja kwa mimi.

Chorus:
Akaja kwa mimi; akaja kwa mimi;
Ndiye mwaokozi wa ulimwengu,
Akaja kwa mimi.

2.
Yesu akafa msalabani,
Kuniponya akalipa deni,
Ni la ajabu ya jinsi gani
Kunifia mimi!

Chorus:
Kunifia mimi! Kunifia mimi!
Ni la ajabu ya jinsi gani
Kunifia mimi.

3.
Ni yeye huyo tangu asili;
Na nilipotanga-tanga mbali
Alikuja kwa upole, kweli
Kuniita mimi.

Chorus:
Kuniita mimi; Kuniita mimi;
Alikuja kwa upole, kweli
Kuniita mimi.

4.
Yesu Kristo atarudi tena,
Hilo lanifurahisha sana.
Yeye Bwana akionekana
Kunijia mimi.

Chorus:
Kunijia mimi, kunijia mimi,
Yeye Bwana akionekana
Kunijia mimi.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Scroll to Top