74.Wachunga Walipolinda

While shepherds watched their flocks

1.
Wachunga walipolinda
Kucha nyama zao,
Malaika mtukufu
Alishuka kwao.

2.
Wakacha sana wachunga,
Akawatuliza,
“Nawaletea habari
Ya kuwapendeza.”

3.
Leo amezawa
Mwokozi ni Kristo Bwana,
Mji wa Daudi
Huyo mwana wa Mbinguni.

4.
Atonekana,
Amelazwa kihorini,
Mtoto hapana.

5.
Alipokwisha yanena
Malaika hao
Waliimba wimbo huu
Usio na mwisho.

6.
“Enzi ni yake Mungu juu,
Na nchi salama,
Kwa watu nao radhi kuu,
Sasa na daima.”

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Scroll to Top