Precious Saviour
1.
Yesu ndiye mganga wetu
Aponya wagonjwa wote;
Mganga wetu ni Yesu,
Aponyaye hasira.
Aponya wagonjwa wote;
Mganga wetu ni Yesu,
Aponyaye hasira.
Chorus
Tumsifu huyo Yesu
Tumsifu milele,
Kwani Mponya mtakata,
Mwokozi wa wanyonge.
Tumsifu huyo Yesu
Tumsifu milele,
Kwani Mponya mtakata,
Mwokozi wa wanyonge.
2.
Mganga wetu ni Yesu
Huondoa matusi;
Mganga wetu ni Yesu,
Mwenye kuponya choyo.
Huondoa matusi;
Mganga wetu ni Yesu,
Mwenye kuponya choyo.
3.
Mganga wetu ni Yesu
Huponya wivu wetu:
Yesu ndiye aponyaye
Kelele za nyumbani.
Huponya wivu wetu:
Yesu ndiye aponyaye
Kelele za nyumbani.
4.
Mganga wetu ni Yesu
Mponya wa tamaa mbaya
Mganga wetu ni Yesu
Uasherati hufuata.
Mponya wa tamaa mbaya
Mganga wetu ni Yesu
Uasherati hufuata.
5.
Mganga wetu ni Yesu
Aponyaye kiu cha pombe,
Mganga wetu ni Yesu
Kila dhambi aponya.
Aponyaye kiu cha pombe,
Mganga wetu ni Yesu
Kila dhambi aponya.