Sitting by the wayside
1.
Nimeketi mimi nili kipofu
Gizani nangojea macho;
Ewe Bwana Yesu mwenye wokovu,
Ondoa dhambi zangu nzito.
Gizani nangojea macho;
Ewe Bwana Yesu mwenye wokovu,
Ondoa dhambi zangu nzito.
Chorus
Huruma hakuna aoneaye,
Gizani nangojea macho,
Sasa nitakase nikuishiye
Yesu, na dhambi zangu nzito.
Huruma hakuna aoneaye,
Gizani nangojea macho,
Sasa nitakase nikuishiye
Yesu, na dhambi zangu nzito.
2.
Tangu siku nyingi nimepofuka
Natamani uso nikuone;
Ewe Bwana Yesu, mwenye baraka,
Sema neno, basi, nipone.
Natamani uso nikuone;
Ewe Bwana Yesu, mwenye baraka,
Sema neno, basi, nipone.
3.
Nimeketi mimi nili na giza,
Nami ya kutumai sina;
Ila nasikia kunong’oneza,
“Kwake Yesu kuna kupona.”
Nami ya kutumai sina;
Ila nasikia kunong’oneza,
“Kwake Yesu kuna kupona.”