Souls of men, why will ye scatter?
1.
Enyi wanadamu mbona
Sana mwatanga-tanga,
Kama kondoo wanyonge,
Wasio na mchunga?
Yuko Mchunga Mmoja
Mwenye mapenzi mema;
Haya kutaneni kwake,
Atawachunga vyema.
Sana mwatanga-tanga,
Kama kondoo wanyonge,
Wasio na mchunga?
Yuko Mchunga Mmoja
Mwenye mapenzi mema;
Haya kutaneni kwake,
Atawachunga vyema.
2.
Mungu tunamwona kuwa
Mwenye uwezo wote;
Na nguvu zake zapita
Mawazo yetu yote;
Ni Baba, mapenzi yake
Ni makubwa hakika;
Hatuwezi kuyajua,
Na hayana mpaka.
Mwenye uwezo wote;
Na nguvu zake zapita
Mawazo yetu yote;
Ni Baba, mapenzi yake
Ni makubwa hakika;
Hatuwezi kuyajua,
Na hayana mpaka.
3.
Rehema za Mungu nazo
Zina upana sana;
Kama huo wa bahari,
Mwisho wake hapana;
Haki yake ina mema.
Kwa hayo twashukuru,
Kwetu uko msamaha
Furaha na uhuru.
Zina upana sana;
Kama huo wa bahari,
Mwisho wake hapana;
Haki yake ina mema.
Kwa hayo twashukuru,
Kwetu uko msamaha
Furaha na uhuru.
4.
Mapenzi yake mapana,
Sisi hatuna cheo
Cha kutosha, nao moyo
Una wema upeo;
Ukombozi mwingi mno
Katika damu yake,
Sote twapata furaha
Kwa maumivu yake.
Sisi hatuna cheo
Cha kutosha, nao moyo
Una wema upeo;
Ukombozi mwingi mno
Katika damu yake,
Sote twapata furaha
Kwa maumivu yake.
5.
Yesu mkaribieni
Njoni kwake kwa imani,
Mema yake ni hayo;
Heri tuwe kama wana
Tushike neno lake,
Daima atatujaza
Tele furaha yake.
Njoni kwake kwa imani,
Mema yake ni hayo;
Heri tuwe kama wana
Tushike neno lake,
Daima atatujaza
Tele furaha yake.