11.Nina haja nawe

I need Thee every hour

1.
Nina haja nawe
Kila saa;
Hawezi mwingine
Kunifaa.

Chorus:
Yesu, nakuhitaji
Vivyo kila saa!
Niwezeshe, Mwokozi,
Nakujia.

2.
Nina haja nawe;
Kaa nami,
Na maonjo haya,
Hayaumi.

3.
Nina haja nawe;
Kila hali,
Maisha ni bure,
Uli mbali.

4.
Nina haja nawe,
Nifundishe
Na ahadi zako
Zifikishe.

5.
Nina haja nawe,
Mweza yote,
Ni wako kabisa
Siku zote.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Scroll to Top