91.Mapenzi Yako Yafanyike Bwana
1. Mapenzi yako yafanyike, Wewe mfinyanzi, nami towe, Unifinyange upendavyo, Mimi tayari, naja kwako. 2. Mapenzi yako yafanyike, Unihoji dhambi […]
1. Mapenzi yako yafanyike, Wewe mfinyanzi, nami towe, Unifinyange upendavyo, Mimi tayari, naja kwako. 2. Mapenzi yako yafanyike, Unihoji dhambi […]
1. Yesu zama Bethlehemu, Aliyezaliwa kwa aibu, Ndiye mwakozi wa ulimwengu, Akaja kwa mimi. Chorus: Akaja kwa mimi; akaja kwa
1. Wewe umechoka sana? Wataka raha? Kwake Yesu utapata furaha. 2. Alama anazo yeye? Sasa! makovu ya mikono, na miguu,
Siku ya Mbinguni kujawa na sifa,Dhambi zilizidi duniani;Yesu akaja azaliwe mtu,Awe na watu ulimwenguni. Alinipenda, alinifia,Ameondoa na dhambi zangu;Alifufuka nipewe
1. Katika safari yetu Kwenda Mbinguni Tusiishe siku zetu Usingizini. Chorus Ng’oani! Tujifungeni, Twende zetu juu! Kristo ndiye kiongozi; Tusihofu
Mbona washangaa njiani?Mbona warejea nyuma?Warudi tena gizaniAlimokutoa Bwana? Ni ya bure yote haya,Uliyofunzwa ya Mungu?Ni bure amekufiaBwana Yesu kwa uchungu?
Jina la Yesu, Salamu!Lisujudieni,Ninyi Mbinguni, hukumuNa enzi mpeni. Enzi na apewe kwetu,Watetea dini;Mkuzeni Bwana wenu,Na enzi mpeni. Enyi mbegu ya
Tazameni huyo ndiye,Mwenye kushinda vita;Haya, tumsujudie;Nyara anazileta;Watu wote msifuni,Sasa yumo kitini. Msifuni malaika,Mtukuzeni sana,Wote waliookokaWatamsifu Bwana;Watu wote msifuni,Sasa yumo kitini.
1. Hata ndimi elfu elfu, Hazitoshi kweli Bwana Yesu kumsifu, Kwa zake fadhili. 2. Yesu, jina liwezalo Kufukuza hofu; Lanifurahisha
Mwamba wenye imaraKwako nitajificha!Maji hayo na damuYaliyotoka humu,Hunisafi na dhambi,Hunifanya mshindi. Kwa kazi zote pia ,Sitimizi sharia.Nijapofanya bidii,Nikilia nakudhii,Hayaishi makosa;Ndiwe